Shirika la maendeleo na uchumi la Jiji la Dar es Salaam ni Shirika la umma lililoanzishwa na serikali mnamo tarehe 18/05/1971. Shirika liliundwa chini ya sheria ya makampuni namba 212 ya mwaka 1971 mpaka 1973 lililopowekwa chini ya sheria namba 16 ya mashirika ya maendeleo ya Wilaya(District Development Cooperation Act no 16).
